Katika kikao cha mapema wiki hii bungeni wabunge walipiga kelele sana wakimkosoa Mh Makonda kwa kuwaweka ndani watumiaji badala ya kuwapeleka hospitali. Katika wabunge walioongea sana ni mh Ester Bulaya mbunge wa Bunda alimpongeza sana Waziri Jenister kwa kusikiliza ushauri wake wa kupendekeza Kamishna anayehusika na Tume hiyo. Leo hii neema imeonekana Rais amejibu maombi na kamishna kapatikana. Bwana
0 comments:
Post a Comment