Mkufunzi wa Manchester United Jose
Mourinho amewashutumu wachezaji wa Leicester kwa kuwa na ubinafsi wa
kumsaliti aliyekuwa mkufunzi wao Claudio Ranieri.
Muorinho alifutwa kazi katika mandhari kama hayo msimu uliopita kufuatia mgomo wa wachezaji lakini akasema kuwa kisa alichofanyiwa kilikuwa kidogo sana ikilinganisha na vile Ranieri alivyofanyiwa.
''Nadhani msimu huu ulianza na ubinafsi mwingi wachezaji wakitaka kupewa mikataba mipya'' .
''Watu wakifikiria fedha zaidi wengine wakiamua kuondoka bila kujali ni nani aliyewafanya kufikia walivyo'' alisema Mourinho.








0 comments:
Post a Comment