Wabunge nchini Rwanda wamepitisha kwa kauli moja mswada wa sheria kuhusiana na haja ya kuifanya lugha ya Kiswahili kuwa rasmi.
Lugha hii inaelekea kuwa ya nne rasmi katika taifa hilo baada ya Kinyarwanda Kiingereza na Kifaransa.
John Gakuba anaarifu zaidi.
0 comments:
Post a Comment