Social

Saturday, February 11, 2017

Tupende vya kwetu, hebu furahia historia ya jeshi la Polisi




HISTORIA YA JESHI LA POLISI – TANZANIA
1885Wajerumani walifika Tanganyika ili kutawala, waliunda kikundi cha watu kilichofanya kazi ya Polisi.
1916Vita kuu ya kwanza ikiendelea Ulaya na Afrika, kundi la Maafisa 31 (NCO) kutoka Afrika Kusini wakiwa na silaha (Rifle) walifika Tanganyika kufanya kazi za Polisi.
1919Tarehe 25 August 1919 Serikali ya Kiingereza ilitangaza katika Gazeti la Serikali No.Vol.1 No.21-2583 kuwa Jeshi la Polisi Tanganyika limeanzishwa rasmi. Makao Makuu ya Jeshi hilo yalikuwa Wilayani Lushoto chini ya uongozi wa Major S.T DAVIS.
1921Kundi lingine la Wakaguzi kutoka Ulaya lilifika nchini Tanganyika kuanzisha shule ya Mafunzo ya Polisi huko Morogoro.
1925Kituo cha kwanza rasmi cha Polisi nchini kilifunguliwa huko Lupa Tingatinga kwenye machimbo ya dhahabu Chunya.
1930Makao Makuu ya Polisi yalihamishwa kutoka Lushoto kuja Dar es Salaam.
1949Motorized Company sasa Field Force Unit (F.F.U) kilianzishwa nchini kurejesha amani penye vurugu.
1949Vijana mbalimbali wa Kiafrika toka shule mbalimbali za Sekondari Nchini walichaguliwa kujiunga na Jeshi la Polisi na kuwa Wakaguzi chini ya uangalizi (Probation Inspectors).
1952Kikosi cha Mawasiliano (Signals Branch) kilianzishwa katika Polisi bila kutumia nyaya za simu.
1958Askari wa Polisi wa Kikie (Women Police) walijiunga na Jeshi la Polisi chini ya uongozi wa Miss. Payee.
1961Tarehe 9 Desemba, 1961 Tanganyika ilipata uhuru wake. Baada ya uhuru, Jeshi la Polisi lilianza kubadili mwelekeo toka katika kutumikia Wakoloni na Walengwa wakawa ni Wananchi kwa mujibu wa sera za Serikali ya Wananchi.
1962
Kwa mara ya kwanza nafasi ya Kamishna wa Polisi aliyekuwa Mzungu Mr. M.S Wilson – C.P, ilichukuliwa na Mwafrika
Mr. Elangwa Shaidi – C.P.
1962Maafisa 10 Waafrika waliteuliwa kuchukua nafasi za wakuu wa Polisi wa Mikoa (Regional Police Commanders).
1964Tarehe 26/04/1964 Tanganyika na Zanzibar ziliungana na hivyo kuunda Tanzania. Kwa hiyo Mr. Elangwa Shaidi alipandishwa cheo nakuwa Inspekta Jenerali wa Polisi (IJP).
Alisaidiwa na Makamishna watatu wa Polisi ambao ni:-

 1 Mr Edington Kisasi Kamishna wa Polisi Zanzibar
 2 Mr. Hamza Azizi Kamishna wa Polisi Bara.
 3 Mr. Akena Kamishna wa Polisi CID.
  
VIONGOZI WA JESHI LA POLISI WAKATI WA UKOLONI HADI UHURU.

1916 – 1920Major S.T. Davis.
 1920 – 1929 E.F. Brown.
 1929 – 1933 G.H. Kiram.
 1933 – 1942 F.A.B. Nicholl
 1942 – 1949 E.B. Birthray.
 1949 – 1951 W.A. Muller.
 1951 – 1958 R.E. Fouler.
 1958 – 1962 G.S. Wilson.
 1962 – 1964 E.N. Shaidi.
 INSPEKTA JENERALI WA POLISI TANGU MUUNGANO HADI LEO.
Elangwa N.ShahidiHamza Aziz
1964 – 19701970 – 1973
Elangwa N. ShaidiHamza Azizi.
S.H.PunduguPhilemon Mgaya
7/8/1973 – Aug 19758/8/1975 – Nov 1980
Samweli H. Pundugu.Philemon N. Mgaya.
Solomon Liani
2/11/1980 – 30/11/19841/12/1984 – 3/5/1996
Solomoni Liani.Harun G. Mahundi.
4/5/1996 – 2/3/20063/3/2006 - 30/12/2013
Omar I. Mahita.Saidi A. Mwema.
IJP Ernest Jumbe Mangu
01/01/2014-Hadi Sasa
Ernest J. Mangu
WAKURUGENZI WA IDARA YA UPELELEZI (CID) TANGU 1960 HADI LEO.
17/9/1960-1/9/1961M. J. McKinlayACP.
1/9/1961-19/7/1962K.F.J. FloodSSP.
19/7/1962-6/12/1962R. T. L. EganACP.
6/12/1962-2/8/1967E. E. AkenaACP.
2/81967-13/11/1967R.S. KaswendeACP.
13/11/1967-4/6/1968N.G.M. SawayaSACP.
4/6/1968-2/9/1968A.R.ShunguSACP.
2/9/1968-23/9/1970N.G.M. SawayaSACP.
23/9/1970-21/5/1973S.H.PunduguCP.
21/5/1973-28/5/1975B.M. OmariCP.
28/5/1975-14/8/1975F.M. MtonoSACP.
14/8/1975-15/2/1977H.M.LyimoCP.
12/2/1977-21/5/1981M.MwingiraCP.
21/5/1981-6/3/1985J.M.LemomoCP.
7/3/1985-30/6/1992A.A.B.MwaitendaCP.
22/10/1992-3/5/1996E.A.ManCP.
4/5/1996-2/3/2006Adadi RajabCP.
3/3/2006-14/07/2013R.S. ManumbaCP.
15/07/2013 - 2014
SASA
I.N. Mngulu - CP
Diwan  Athuman
CP

0 comments:

Post a Comment