
Zaidi wa watu Thelathini na wanne wameuwawa na wengine kumi na watano wamejeruhiwa baada ya gari kuvamia katikati ya kundi ya watu nchini HAITI
Zaidi wa watu Thelathini na wanne wameuwawa na wengine kumi na watano wamejeruhiwa baada ya gari kuvamia katikati ya kundi ya watu nchini HAITI
Tukio hilo limetokea katika mji wa Gonaives Kaskazini mwa mji mkuu wa Port Au Prince nchini Haiti ambapo awali gari hilo lilipita katika njia ya watembea kwa miguu na kuua mtu mmoja.
Habari kutoka nchini Haiti zinasema kuwa dereva wa gari hilo aliongeza mwendo na kuvamia kundi la watu ambao walikusanyika tofauti na barabara ilipo.
Uchunguzi wa ajali hiyo bado unaendelea.
Tukio hilo limetokea katika mji wa Gonaives Kaskazini mwa mji mkuu wa Port Au Prince nchini Haiti ambapo awali gari hilo lilipita katika njia ya watembea kwa miguu na kuua mtu mmoja.
Habari kutoka nchini Haiti zinasema kuwa dereva wa gari hilo aliongeza mwendo na kuvamia kundi la watu ambao walikusanyika tofauti na barabara ilipo.
Uchunguzi wa ajali hiyo bado unaendelea.
0 comments:
Post a Comment