Social

Wednesday, March 8, 2017

Real Madrid yatinga robo fainali




Real Madrid yatinga robo fainali Katika mchezo mwingine wa ngazi ya timu 16, Sergio Ramos alipachika mabao mawili na kuipatia ushindi Real Madrid wa mabao 3-1 waliokuwa wakicheza ugenini dhidi ya Napoli.

Sergio Ramos alitikisa nyavu mara mbili Vijana hao wa Zinedine Zidane walishinda kwa jumla ya mabao 6-2 na kujihakikishia nafasi ya kucheza robo fainali. Alvaro Morata alifunga bao la tatu la Real Madrid.

0 comments:

Post a Comment