Social

Monday, March 13, 2017

Picha: Kusimama kwa muda





Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres (kushoto) akimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dk Augustine Mahiga wakati Katibu Mkuu huyo aliposimama kwa muda Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam. (Picha na Mroki Mroki).

0 comments:

Post a Comment