Kwa mara nyingine kiungo Haruna Niyonzima na beki Juma Abdul hawamo kwenye kikosi cha Yanga ikiwa ni mechi ya pili mfululizo kukosa. Wakati Niyonzima akikosekana sambamba na Juma Abdul, beki Kelvin Yondani aliyekosa mechi dhidi ya Ruvu Shooting amerudi kwenye kikosi cha kwanza. Washambuliaji Emmanuel Martin na Malimi Busungu wamepewa kazi ya kusaka mabao pamoja […]
0 comments:
Post a Comment