Pia, Waziri huyo amesema wanawake walioajiriwa katika sekta zote wana haki kisheria ya kupata likizo baada ya kujifungua.
Mwalimu amesema wapo baadhi ya waajiri wa sekta binafsi mfanyakazi wake akipata mimba, linakuwa kosa la kumfukuzisha kazi mhusika.
"Tabia hii haikubaliki kabisa. Hatutakubali, tutamchukulia hatua kali mwajiri yoyote wa sekta binafsi, atakayebainika amefukuza mfanyakazi, kisa amebeba mimba,"amesema Mwalimu.
0 comments:
Post a Comment