Social

Monday, March 20, 2017

Makonda awasili kwenye uzinduzi wa ‘flyover’ Ubungo


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amewasili kwenye uzinduszi wa ujenzi wa barabara za juu,  Ubungo,(Ubungo interchange).
 Mgeni rasmi katika uzinduzi huo ni Rais John Magufuli ambaye anatarajiwa kuwasili wakati wowote kuanzia sasa.

0 comments:

Post a Comment