
Chumba cha kuchomea maiti katika jimbo la Ohio nchini Marekani kilichomeka wakati kilipokuwa kikitumika kuchoma mwili wa mfu aliyenenepa kupita kiasi kulingana na mmiliki wa chumba hicho.
Mafuta yaliokuwa katika mwili huo yalichomeka katika viwango vya juu vya joto na kusababisha moto huo kulingana na afisa mkuu wa zima moto.
Hatahivyo hakuna eneo jingine la chumba hicho lililochomeka kulingana na Catchen.
Moto huo hatahivyo ulidhibitiwa katika eneo la kutengeza magari ambapo chumba hicho cha kuchomea maiti kipo,aliambia BBC.
"Mojawapo ya makasha ya kuchoma mili lilichomeka na ni hilo ndio lililochomeka pekee.Hakuna miili mingine ilioharibika katika moto huo'',alisema.
0 comments:
Post a Comment