Saturday, January 28, 2017
Friday, January 27, 2017
Thursday, January 26, 2017
Friday, January 13, 2017
Wednesday, January 11, 2017
Tuesday, January 10, 2017
Monday, January 9, 2017
Masele chapombe aachana na ukapera kamuoa binti Specioza
12:41 PM
No comments
Msanii wa vichekesho aliyejipatia umaarufu mkubwa kwa mtindo wake wa uchekeshaji akiigiza kama mlevi, Chrispine Lyogello, maarufu kama Masele au Chapombe.
Mwishoni mwa wiki hii ameaga ukapera baada ya kufunga ndoa na mchumba wake, Specioza Malick iliyofungwa katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Bikira Maria Consolata lililopo Mbezi Makabe jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya mashabiki walitoa maoni yao kuhusu ndoa yao na kumshauri Mrembo huyo ajitayarishe kucheka zaidi na wakati huohuo awe na ubavu wa kutenganisha kazi ya Masele na maisha halisi.
Muigizaji Masele, amekuwa msanii wa kwanza kufunga ndoa ndani ya mwaka 2017.
Mwishoni mwa wiki hii ameaga ukapera baada ya kufunga ndoa na mchumba wake, Specioza Malick iliyofungwa katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Bikira Maria Consolata lililopo Mbezi Makabe jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya mashabiki walitoa maoni yao kuhusu ndoa yao na kumshauri Mrembo huyo ajitayarishe kucheka zaidi na wakati huohuo awe na ubavu wa kutenganisha kazi ya Masele na maisha halisi.
Muigizaji Masele, amekuwa msanii wa kwanza kufunga ndoa ndani ya mwaka 2017.
Sunday, January 8, 2017
Subscribe to:
Comments (Atom)
























